Wednesday, August 13, 2014

MARTIN KADINDA AJIBU MASHABIKI WA WEMA BAADA YA KUULIZWA KAMA AMESHINDWA KAZI YA UMENEJA MAANA WEMA ANASHUKA

Wema akiwa na Meneja wake Martin Kadinda
Ok hapo juu ndo ujumbe alioandikiwa Meneja wa mrembo Wema Sepetu anaeitw @mrekebishatabia. Maswali mengi yamekuja baada ya Wema kufanya show Mwanza mpenzi wake alipokuwa akiperform jukwaani, pamoja na hayo mashabiki waliyo wengi wametaka kuona Wema akijishughulisha kuliko hivyo anvyo zunguka na hawajui anafanya nini. Wema ana mashabiki wengi sana wanaompenda na kutaka mafanikio yake. Baada ya swali hilo hapa chini ndo jibu alilitoa kaka Meneja wa Wema amejielezea vizuri sana. 

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...