Thursday, April 17, 2014

STRIPES AND SUN


Martyneh From United Kingdom

DIDIER DROGBA SHOWS OFF HIS GLISTENING MUSCLES AS HE LAUNCHES UNDERWEAR RANGE

Footballer Didier Drogba has launched his own line of underwear

Charity man: One euro from each pair of pants sold will go towards The Didier Drogba Foundation

WEMA SEPETU NA PROFESSOR JAY WAZINDUA GLOBAL TV ONLINE

Wema Sepetu na Profesa Jay wakikata utepe kuzindua rasmi Global Tv Online leo ndani ya ofisi za Global Publishers Ltd.
Wema na Prof Jay wakifungua kitambaa kuzindua Global Tv Online.
Wasanii wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (mwenye suti).

Wednesday, April 16, 2014

VIOLENCE CAN CAUSE MARDER CASE


Oneni ukatili uliokithiri huyo mtoto alikuwa anaamulia ugomvi WA mama anapigwa na Baba, hatimaye yeye ndo kapigwa na mti na Baba yake mzazi.

   Baba anaitwa Mussa Mgogo mtoto anaitwa Manzala Musa




Huyu ndo Baba mzazi WA mtoto

Hii imetokea Lukali wilaya ya Bahi - Dodoma



Monday, April 14, 2014

NITASUBIRI VIDEO SHOOT: BY JUMA JUX







DADDY & ALVIN "THE DON" : MY BOYS, MY CA/AC

 CATHBERT & ALVIN (CA)
 LAST NIGHT
ALVIN & CATHBERT (AC)

Lady JayDee - Nasimama (Official Video)

I SNOOPED ON MY HUSBAND'S SEX SECRETS: ROWAN PELLING'S SEX COLUMN

Rowan Pelling gives advice on what to do if you find out your partner is secretly not happy with your sex life. Pictured: Stock image

QUESTION: My husband and I met two years ago and I thought we had great relationship. But last weekend I was alone and discovered his diary. I was shocked to find he writes about our love life in detail and is sometimes critical of ‘dull’ sex. Should I confront him?

Answer: It’s hard to decide just  who’s the worst behaved here: your graceless man for writing about your sexual encounters or you for reading his private diary. 

You are quite old enough to know that no good ever comes of reading someone else’s journal and, indeed, that it’s a breach of trust. 
If you confront your man about the diary, he may never trust you again. I mean, where will your snooping end? How would you feel if he read your texts?  Let’s have some mutual honesty here. Has there never been one occasion when you   thought sex was a bit below par?

YELLOW CAN SUIT EVERY SKIN TONE






Sunday, April 13, 2014

BEDROOM EYES: RIHANNA

 Rihanna on the MTV Movie Awards red carpet


Rihanna as usual looked very sultry in a white satin Ulyana Sergeenko dressing gown over a matching bustier

MAJANGA MENGINE ARUSHA : BOMU LASADIKIWA KUJERUHI

Watu kadhaa wamejeruhiwa leo Aprili 13, 2014 na kitu kilichosadikiwa ni bomu la kurushwa kwa mkono lililolipua bar maarufu jijini Arusha ijulikanayo kwa jina la Arusha Night Park (Matako Bar) iliyopo eneo la Mianzini.
Kwa mujibu wa habari ilizozifikia chumba chetu cha habari zinasema kuwa kitu hicho kilichosadikiwa ni bomu kimelipuka kimesababisha uharibifu wa mali ikiwemo kuwajeruhi watu kadhaa.
"Mmoja ya mashuhuda ambaye ameongea na mwandishi wetu kwa njia ya simu amesema tukio hili limetokea saa moja lililopita, ambapo kulikuwa na watu wengi waliokuw wakiangalia mpira.
Mpaka sasa polisi wameshafika eneo la tukio

REST IN PEACE MUHIDIN MAALIM GURUMO

Mwimbaji Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Maalim Gurumo amefariki alasiri hii katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Habari zilizofikia dawati letu zinasema kuwa mzee huyo amefariki kutokana na maradhi ambayo yalimsumbua kwa muda mrefu: 

 Septemba 10, 2012: Mwimbaji huyo Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma alifanikiwa kupanda tena jukwaani kukonga mashabiki wa bendi hiyo baada ya afya yake kulega lega kutokana kusumbuliwa na Maradhi. 

Novemba 22, 2013: GWIJI wa muziki wa dansi mstaafu Muhidin Maalim Gurumo aliugua ghafla na kulazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam. Mwimbaji huyo mkongwe alipatwa na tatizo la shinikizo la damu na hali ikawa mbaya kabla ya kukimbizwa hospitalini hapo.

FRESH COUPLE IN TOWN: IDDI BAKA & ASHA BARAKA

NEW COUPLE IN TOWN 

 IDDI BAKA
ASHA BARAKA


ASHA

WISHING U THE BEST IN YOUR MARRIAGE LIFE

FLOODS IN TANZANIA : LORD HAVE MERCY

Tabata - Dar es Salaam

 Ruvu Darajani - Coast Region
 Airport - Dar es Salaam
 Mabibo Hostel - Dar es Salaam
Kariakoo - Dar es Salaam
Check the video


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...