Wednesday, January 30, 2013
Tuesday, January 29, 2013
Monday, January 28, 2013
UPDATE KUHUSU LULU (ELIZABETH MICHAEL) KUACHIWA KWAKE KWA DHAMANA NA MASHARTI ALIYOPEWA
Mahakama kuu leo imetangaza dhamana ya mwigizaji Lulu lakini iwapo atatimiza masharti aliyopangiwa ambayo ni pamoja na kuwasilisha hati yake ya kusafiria, kutosafiri nje ya Dar es salaam, kujiwakilisha au kuripoti mahakamani kila siku ya kwanza ya kila mwezi pamoja na wadhamini wake wawili ambao kila mmoja adhamini kwa shilingi milioni 20 za kitanzania.
Subscribe to:
Comments (Atom)















