Sunday, April 13, 2014

REST IN PEACE MUHIDIN MAALIM GURUMO

Mwimbaji Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Maalim Gurumo amefariki alasiri hii katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Habari zilizofikia dawati letu zinasema kuwa mzee huyo amefariki kutokana na maradhi ambayo yalimsumbua kwa muda mrefu: 

 Septemba 10, 2012: Mwimbaji huyo Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma alifanikiwa kupanda tena jukwaani kukonga mashabiki wa bendi hiyo baada ya afya yake kulega lega kutokana kusumbuliwa na Maradhi. 

Novemba 22, 2013: GWIJI wa muziki wa dansi mstaafu Muhidin Maalim Gurumo aliugua ghafla na kulazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam. Mwimbaji huyo mkongwe alipatwa na tatizo la shinikizo la damu na hali ikawa mbaya kabla ya kukimbizwa hospitalini hapo.

FRESH COUPLE IN TOWN: IDDI BAKA & ASHA BARAKA

NEW COUPLE IN TOWN 

 IDDI BAKA
ASHA BARAKA


ASHA

WISHING U THE BEST IN YOUR MARRIAGE LIFE

FLOODS IN TANZANIA : LORD HAVE MERCY

Tabata - Dar es Salaam

 Ruvu Darajani - Coast Region
 Airport - Dar es Salaam
 Mabibo Hostel - Dar es Salaam
Kariakoo - Dar es Salaam
Check the video


Friday, April 11, 2014

SPORAH NJAU : AM IN LOVE WITH HER DRESSING STYLE




SHE IS HOSTING "THE SPORAH SHOW"

PROUDLY TANZANIAN: LADY JAY DEE

TBT #Nairobi #CokeStudio with Octopizzo ★★★★★ Am sure many of you have heard of the 2014 Fifa Brazil World Cup Song. That Octopizzo (Kenya) David Correy (Brazil) and I Kamanda wenu Jide are featured. Am sincerely humbled to be part of this great song. (THE WORLD IS OURS)......that the entire world will enjoy listening to. Its thru the support from you my people (Asanteni sana) Dedication, consistency, love and faith for what I do that Coca Cola proudly picked me to be part of yet another exciting journey. God is taking me to dine with Kings :)

MSG FROM JIDE ON HER INSTA PAGE

GET READY FOR HISTORIA CONCERT

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...