Tuesday, October 21, 2014

MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU, NI MISS HALALI MWENYE VIGEZO VYOTE!


Kamati ya Miss Tanzani imesema kuwa haiwezi kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote vilivyotakiwa, na amewataka watu kutoropoka kwa kuwa hawajui vigezo vinavyotakiwa
Akifafanua kuhusu suala la umri, mratibu wa mashindano hayo Hashim Lundenga amesema kuwa cheti halali walichonacho wao ni kile kinachoonesha Sitti Mtemvu kazaliwa 24 mei 1991 na si vinginevyo.

Kuhusu suala la passport na leseni zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii zikionesha amezaliwa mwaka 1989, Lundenga amesema wao huwa hawangaali vitu hivyo wanachojali ni cheti cha kuzaliwa.

Kuhusu tuhuma za unene amesema wao huwa hawaangalii wembamba wala ufupi, muhimu ni awe na vigezo vinavyotakiwa
 
CREDIT:EAST AFRICA TV

SHE MUST BE RED HOT! KIM KARDASHIAN


Wednesday, September 24, 2014

Kim, Kanye and North West step out in style at Paris show


1 year old North West stole the show as she stepped out with her stylish parents at the Balenciaga show in Paris for Fashion Week today Wednesday September 24th. The cutie wore leather trousers, black skirt, black boots and a Yeezus tour top. Her parents were also all dressed in black.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...